Nenda kwa yaliyomo

Kasto na Emilio

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kasto na Emilio (walifia dini katika Tunisia ya leo, 250 hivi) walikuwa Wakristo ambao waliuawa kwa kuchomwa moto.

Habari zao ziliandikwa na askofu Sipriani wa Karthago akieleza kwamba mara ya kwanza walishindwa na hofu, lakini hatimaye Mungu aliwaimarisha wawe na nguvu kuliko miali ya moto [1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 22 Mei[2][3]

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.